Najua wengi si wageni na ile crew ya WEUSI ama NYEUSI toka hood za Arachuga kaskazini mwa Tzee wanaowakilisha good katika tasnia ya HIP HOP ya bongo,G-Nako hivi karibuni aliisanua mitaa kwamba WEUSI ni zaidi ya kundi na si kundi in sachi bali ni kampuni ambayo inaundwa na wakali wa RIVER CAMP soldiers front line members yaani Joh Makini,Niki wa pili,na Bonta conscious, na crew ya NAKO 2 NAKO soldiers front line members Lord eyes,G-nako,na Bou nako na sio ma member bali ni mapatners katika biashara ya kampuni ya weusi,Na hivi soon wanakuja na Album ya pamoja inayokwenda kwa jina la ''muziki mzuri'' ikiwa imesheheni jumla ya nyimbo ishirini na ipo katika final stage na ikiwa tayari kusambazwa utaharifiwa utaipata vipi sababu mfumo wa usambazaji watakao tumia ni tofauti na wengi walivyozoea.
Friday, February 10, 2012
WEUSI NA "MUZIKI MZURI" the album
USHAURI WA MGOSI MKOLONI KWA WADAU NA WANAMUZIKI WA BONGO
MGOSI MKOLONI KULIA AKIWA NA SUGU
"NDUGU WAPENDWA.........KUNA TAARIFA MTAIPATA SOON KUPITIA MITANDAO HII YA KIJAMII KUHUSIANA NA SUALA ZIMA LA HARAKATI ZA KUMKOMBOA MSANII WA TANZANIA.............ILA KWA LEO NINGEPENDA KUWAPA TAARIFA IFUATAYO KWA UFUPI TU JUU YA TUNZO HIZI ZINAZOITWA KILI MUSIC AWARD.......
kifupi ni kwamba hakuna msanii yeyote wa Tanzania ambaye atathubutu kusimama hata nchi ya Kenya na kujisifu kuwa ni mshindi wa Tunzo za Kili music award toka Tanzania, kwa sababu hazina heshima yoyote na mbaya zaidi zimejaa fitina,majungu ubinafsi,undugu,ushkaji,kujuana,ufisadi,ukosefu wa taaluma,wizi,upendeleo,unyanyapaa,uwoga na ujinga ndio vimetawala kiasi cha kufanya Tunzo hizi zinakosa heshima na nidhamu kwa sanaa ya muziki Tanzania......silazimishi ukubali ila sijaomba ukatae hapa ninachokimaanisha....JIULIZE.....ni msanii gani wa Tanzania ambaye atathubutu kusema Tunzo zimempatia heshima zaidi ya kupiga picha na kuwekwa kwenye rekodi ambayo wanaharakati watakuja kuifuta soon? nilialikwa kwenye kikao chao cha kwanza pale BASATA na niliwachana live wawape wasanii mkwanja wa kutosha kati ya mil 3 mpaka 5 kwa washindi wakaniona mimi KINEGA ndio maana kwenye kuchagua nominees huko kwenye academy yao Kunduchi wakachaguana wao kwa wao na kuwaacha watu kibao wenye upeo na uelewa wa kutosha kuhusu muziki, japo sikuwa na mpango wa kutaka kuwepo kwa sababu wanajua wasingefanikiwa lazima kingenuka tu,bado nasisitiza suala la heshima ya Tunzo haipo watoe mkwanja kwa wasanii na wote watakaoburudisha wasizingue!!........Nawapongeza wasanii wote waliojitoa kwa kutangaza kwani wako sahihi na ninawaunga mkono...... kitaeleweka........ WASANII TUSIDANGANYIKE!!!
Wednesday, February 8, 2012
BONTA CONSCIOUS NA MGOMO WA MADAKTARI
AMBAYE PIA NI PROFESSIONAL DOCTOR AFUNGUKA JUU YA MGOMO WA MADAKTARI AKIWA NI MMOJA KATI YA MADAKTARI HAO BONTA ANASEMA HIZI NI HASIRA ZA SIKU NYINGI AMBAZO ZIME BE STIMULATED NA MAMBO YA SASA HIVI KATIKA SERIKALI SABABU MAANDAMANO YANALETWA NA VITU VIWILI AMBAVYO NI MATTER OF RIGHT OR MATTER OF INTEREST NA KUNA MAENEO ESSENTIAL YASIYORUHUSIWA KUGOMA KAMA MA DR. WATU WA FIRE MAASKARI NA MAJESHI LAKINI MADAKTARI WAMEGOMA KUTOKANA NA MATTER OF INTEREST KWA MADAI YAFUATAYO
1.CALL ALLOWANCE ambayo kwa sasa wanalipwa Tsh 10000/= tangu mwaka 2004
ikiwa WANASIASA wanalipwa Tsh 700000 nakudai waongezewe hadi Tsh-200000
2.HEALTH INSURANSE GREEN CARD SIO NSSF
3.TRANSPORT ALLOWANCE
4.RISK ALLOWANCE
5.HARDSHIP ALLOWANCE
5.BAD WORKING AREAS
6.MSHAHARA AMBAO JUMUIYA YA MADAKTARI WALIDAI KIASI CHA TSH.MILIIONI 3.5 KWA DR. NA WALIHITAJI KUKAA NA SERIKALI KUJADILI JUU YA MSHARAHA HUO LAKINI SERIKALI IKADAI HUO NI UTOVU WA NIDHAMU.
7.WAZIRI WA AFYA, NAIBU WAZIRI WA AFYA ,KATIBU MKUU WAONDOLEWE MADALAKANI HIKI NDO KITU KIKUBWA ZAIDI, JUMUIYA YA MADAKTARI WALITAKA VIONGOZI WOTE WA JUU KATIKA WIZARA YA AFYA WAJIUZURU SABABU NDIO CHANZO CHA HAYA MATATIZO YOTE
BAADHI YA HIT SONG ZA BONTA MTI WENYE MATUNDA,NAUZA KURA YANGU,MZALENDO WA MEI MOSI N.K
DULLY AFUNGUKA JUU YA KILI MUSIC AWARDS
mkongwe wa muziki wa bongo flava mwenye hit song kibao Dully Sykes afunguka juu ya kili music awards na kudai hataki kushiriki katika tuzo hizo na hajui kwa ni kwa nini wanamuweka kwenye categolies hizo ikumbukwe yupo katika categories za ''Mtumbuizaji bora,na wimbo bora wa Afro Pop kupitia wimbo wa Bongo flever'' anadai hajaambiwa na alishakataa kuwekwa katika category yoyote katika tuzo hizo kwa sababu tunzo hizo hazimnufaishi kwa lolote ''siitaji na siitaji tuzo yoyote toka tanzania''Dully alisisitiza
hususani kilimanjaro tanzania music award zinazotolewa na kampuni ya kilimanjaro Dully afunguka ''wangejua thamani ya music wangu wangenipa toka kipindi cha hi,bijou,hi,handsome kwa sasa siihitaji tuzo hizo"
lakini habari toka kwa afisa mmoja wa BASATA afunguka juu ya hilo na kudai "wanahitaji uthibitisho wa maandishi toka kwa dully kama awali alivyofanya Mwana FA kupitia gazeti la kita ngoma, basata wanadai hawajapata barua rasmi toka kwa dully"
hususani kilimanjaro tanzania music award zinazotolewa na kampuni ya kilimanjaro Dully afunguka ''wangejua thamani ya music wangu wangenipa toka kipindi cha hi,bijou,hi,handsome kwa sasa siihitaji tuzo hizo"
lakini habari toka kwa afisa mmoja wa BASATA afunguka juu ya hilo na kudai "wanahitaji uthibitisho wa maandishi toka kwa dully kama awali alivyofanya Mwana FA kupitia gazeti la kita ngoma, basata wanadai hawajapata barua rasmi toka kwa dully"
KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS NOMINATIONS

Chini ni baadhi ya categories na nominees
wimbo bora wa mwaka:
Hakunaga wa Suma lee,
Dushelele wa Ally kiba,
Moyo wangu wa Diamond,
Mathematics wa Roma,
Nilipe nisepe wa Belle 9,
Riz one wa Izzo business
wimbo bora wa R&B:
Number one fan wa Ben Paul, Maumivu wa Ben Paul,
Nilipe nisepe wa Belle 9,
Napata raha wa Jux,
Usiniache wa Hemed [PHD]
wimbo bora wa HIPHOP:
Rizi One wa Izzo B,
Kilimanjaro wa Joh Makini
Mathematics wa Roma Famous wa Jay Moe,
Kingzila wa Godzilla
kolabo bora:
Famous - Jay Moe feat. P-funk, King Zilla - Godzilla feat.Marcochali
Wangu - Jay Dee feat.Mr.blue
kama ni gangster - Chege, temba feat. Ferouz
Nai Nai - Ommy Dimpoz feat.Ally kiba
mwimbaji bora wa kike:
Lady Jaydee, khadija Kopa,Isha Mashauzi, Dayna, Linah
msanii bora wa hiphop:
Godzila, Roma, Izzo B, Joh Makini, Fid Q
Producer bora:
Marco Chali, Pancho Latino, Bob Juniour, Maneck, Man Water
Msanii bora anaechipukia:
Ommy Dimpoz, Darasa, Recho, Abdul Kiba, Beatrice a.k.a Nabisha
Wednesday, January 25, 2012
MAGENGE YAENDELEA KUKINUKISHA
Magenge ya Ant-Virus yanaendelea kugengesha pande za DSM tarehe 29 JANUARY 2012 katika ukumbi wa MAISHA CLUB baada ya tour za mikoani so scanning is continue akiweka bayana moja ya kinega wa Ant-Virus ansema" TANGAZO CKUELEWEKA VIZURI NI IVI,HILI FUNDISHO NI KWA WOTE WANAOSHINDANA NA VINEGA WAKISIKIA VINEGA WANA SHOO NAWAO WANAFANYA SO 2NATAKA KUTOA FUNDISHO TAR29 PALE MAISHA.kwa wote wenye dharau na wivu kwa vinega itafanywa sho ya kufa m2 tena ijawahi kutokea pale maisha na 2ache historia pale maisha so njo uwe kwny historia magenge""K WA MAUJANJA SAPLAYAZ"""akiweka bayana juu ya show hiyo katika mitandao ya kijamii
R.I.P SAM MBOKA WA BANYAMBALA CREW
Yafuatayo ni maneno toka kwa Zola D juu ya kifo cha SAM MBOKA ""watu wengi washabiki wa mziki wa hip hop,waishio mikoani MWA TANZANIA,najuwa mtakuwa mnamjua kijana mmoja anaitwa sam mboka au aka 2 pac alikuwa na bonge la sauti kama simba,ndie alikuwa muanzilishi wa kundi moja la mziki kutoka mjini mbeya linaitwa banyambala clew nasikitika huyu dogo amekufa KWA DHARULA jana J.PILI ni msiba mzito kwangu coz alikuwa kama mdogo wangu wa damu na walikuwa wanaishi home kwangu tokea mwaka 2004,nasikitika nguzo moja ya hip hop imeanguka R.I.P MY REAL BRO SAM MBOKA.Ikumbukwe kuwa marehemu SAM MBOKA alikuwa akiunda kundi la banyambala na Man DAVY na walikuwa wakiwakilisha Mbalizi MBEYA the green city R.I.P BRO IN MEMORY OF SAM MBOKA UNAOGOPA USIKU!!!UNAOGOPA MCHANA!!!
PICHANI NI ZOLA D KING AMBAYE ALIKUWA AKIISHI NA MAREHEMU SAM MBOKA JIJINI DSM
"SAUTI YA JOGOO" Nikki Mbishi album
Nikki Mbishi kitambo from lunduno keshaipua album yake mpya na ya kwanza inayokwenda kwa jina la SAUTI YA JOGOO so if u have love with Tanzania HIP HOP ni muda muafaka ku support hii kitu so go to market and get it ni full usiwaze ni HOT ndugu yangu
Dogo Janja "mtoto wa uswazi" ipo mbioni
Dogo from narengaro hood za kaskazi MTOTO WA USWAZI the album uploaded so soon mzigo utakuwa live from his connection tip top kip on!!
Tuesday, January 17, 2012
Monday, January 16, 2012
hiP hOP Mc Mo-Plus aja na MoveMent T-Shirt!!
HiP HoP Mc Mo-Plus
T-Shirt za movementHiphop MC Moplus,baada ya kuachia ngoma ya "movement" ,sasa amewapa nafasi mashabiki zake wote kunyuka Tshirt za "MoveMent" kwa elf kumi tu!!!!'asema "Project zangu za kimziki nazifanya kwa mashabiki zangu ambao kwa ujumla ndio jamii#hii ni kwa hisani ya NOIZMEKAH#
Thursday, January 12, 2012
MAN STABLE stable wa rhyemes TARGET ZA KITAA mixtape
Cover ya mix tape hiyo huku chini ikionyesha list ya track zilizomo ndani ya mixtape hiyo
MAN STABLE ama stABLe wa rhYMEs toka hood za dirty south of southern highlands of Tanzania I-town ngome ya mtwa Mkwawa anakuja na mixtape inayokwenda kwa jina la TARGET ZA KITAA yenye jumla ya nyimbo kumi na sita,akiongea na moja ya mashabiki wa street HIP HOP alibainisha kuwa katika mzigo huo uliopikwa na maproducer wa nyumbani na nje yupo katika finishing soon mzigo utaachiwa mwanzoni mwa mwezi much kama mambo yataenda ka yalivyopangwa so ka ni mpenzi wa hip hop ya Tanzania toka kitaa kaa mkao wa kupata madini kwani THE REAL HIP HOP IS NOT ON THE RADIO twende sote tu-support hip hop ya Tezee from ghetto,street to all over the world WE KIP IT HIP HOP!
MAN STABLE ama stABLe wa rhYMEs toka hood za dirty south of southern highlands of Tanzania I-town ngome ya mtwa Mkwawa anakuja na mixtape inayokwenda kwa jina la TARGET ZA KITAA yenye jumla ya nyimbo kumi na sita,akiongea na moja ya mashabiki wa street HIP HOP alibainisha kuwa katika mzigo huo uliopikwa na maproducer wa nyumbani na nje yupo katika finishing soon mzigo utaachiwa mwanzoni mwa mwezi much kama mambo yataenda ka yalivyopangwa so ka ni mpenzi wa hip hop ya Tanzania toka kitaa kaa mkao wa kupata madini kwani THE REAL HIP HOP IS NOT ON THE RADIO twende sote tu-support hip hop ya Tezee from ghetto,street to all over the world WE KIP IT HIP HOP!
Sunday, January 8, 2012
Ghetto hip hop artist toka hood ya Arachuga aitwaye Viva concsious yuko mbioni kuja na mixtape yake inayokwenda kwa jina la CONSCIOUS MIXTAPE ndani ikiwa na nyimbo 10,akifunguka hivi karibuni katika mitandao ya kijamii viva conscious anatariifu kuwa ngoma ipo hot so mashabiki wa HIP HOP toka Tanzania na vitongoji vyake na dunia nzima wakae mkao wa kula,Akiwataja aliowapa shavu kaita mixtape hiyo ni pamoja na Del manase katika Active IQ, Gentriez katika Rap imara, Mesen selekta ndani ya Jicho la mtaa,na Charter cana ndani ya Upeo.mpenzi wa street hip hop ni wakati wa kuunga mkono hii kitu ni conscious wadau take tezee hip hop to the next level!!!!
Friday, January 6, 2012
Baada ya tour ya mikoani genge kinara la vinega wanao scun virus walio katika tasnia ya music wa bongo almaarufu kama ANT-VIRUS wanaendelea na ile wanaoiita ni vita dhidi ya wahujumu wa muziki wa bongo flava chini ya kiongozi wao mashuhuri ambaye ni moja kati ya waasisi wa muziki huo hapa nchini ambaye pia ni mbunge mashuhuri wa jimbo la Mbeya mjini katika jiji la Mbeya kupitia tiketi ya chama cha chadema,vinega inaundwa na wasanii wengi wakonge na wapya kama SUMA G;RAMA D;MKOLONI;ADILI(hisabati);MAPACHA(D WA MAUJANJA;K-WA MAUJANJA) PEENLAWYER;SOGGY DOGGY;COIN;DANY MSIMAMO na ISANGA FAMILY moja ya vinega D wa maujanja kafunguka katika wall yake ya facebook na kuwataarifu wapenzi wa Ant-Virus kwamba ANT VIRUS VOL III Ippo njiani
Subscribe to:
Posts (Atom)









