MAN STABLE ama stABLe wa rhYMEs toka hood za dirty south of southern highlands of Tanzania I-town ngome ya mtwa Mkwawa anakuja na mixtape inayokwenda kwa jina la TARGET ZA KITAA yenye jumla ya nyimbo kumi na sita,akiongea na moja ya mashabiki wa street HIP HOP alibainisha kuwa katika mzigo huo uliopikwa na maproducer wa nyumbani na nje yupo katika finishing soon mzigo utaachiwa mwanzoni mwa mwezi much kama mambo yataenda ka yalivyopangwa so ka ni mpenzi wa hip hop ya Tanzania toka kitaa kaa mkao wa kupata madini kwani THE REAL HIP HOP IS NOT ON THE RADIO twende sote tu-support hip hop ya Tezee from ghetto,street to all over the world WE KIP IT HIP HOP!
Thursday, January 12, 2012
MAN STABLE stable wa rhyemes TARGET ZA KITAA mixtape
Cover ya mix tape hiyo huku chini ikionyesha list ya track zilizomo ndani ya mixtape hiyo
MAN STABLE ama stABLe wa rhYMEs toka hood za dirty south of southern highlands of Tanzania I-town ngome ya mtwa Mkwawa anakuja na mixtape inayokwenda kwa jina la TARGET ZA KITAA yenye jumla ya nyimbo kumi na sita,akiongea na moja ya mashabiki wa street HIP HOP alibainisha kuwa katika mzigo huo uliopikwa na maproducer wa nyumbani na nje yupo katika finishing soon mzigo utaachiwa mwanzoni mwa mwezi much kama mambo yataenda ka yalivyopangwa so ka ni mpenzi wa hip hop ya Tanzania toka kitaa kaa mkao wa kupata madini kwani THE REAL HIP HOP IS NOT ON THE RADIO twende sote tu-support hip hop ya Tezee from ghetto,street to all over the world WE KIP IT HIP HOP!
MAN STABLE ama stABLe wa rhYMEs toka hood za dirty south of southern highlands of Tanzania I-town ngome ya mtwa Mkwawa anakuja na mixtape inayokwenda kwa jina la TARGET ZA KITAA yenye jumla ya nyimbo kumi na sita,akiongea na moja ya mashabiki wa street HIP HOP alibainisha kuwa katika mzigo huo uliopikwa na maproducer wa nyumbani na nje yupo katika finishing soon mzigo utaachiwa mwanzoni mwa mwezi much kama mambo yataenda ka yalivyopangwa so ka ni mpenzi wa hip hop ya Tanzania toka kitaa kaa mkao wa kupata madini kwani THE REAL HIP HOP IS NOT ON THE RADIO twende sote tu-support hip hop ya Tezee from ghetto,street to all over the world WE KIP IT HIP HOP!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment